#EndPoliceKillings #EndEnforcedDisappearances


Ushahidi kuhusu mauaji ya kiholela na kupotea kwa watu nchini Kenya unaashiria matukio haya yanatekelezwa na vyombo vya usalama. Idara ya usalama ingali inashikilia kuwa haihusiki kwa vyovyote vile. Ikiwa maafisa wa usalama hawahusiki, kwa nini hawafanyi uchunguzi ilhali imo ndani ya uwezo wao kufanya hivyo? Sehemu ya Pili ya Kifo cha Mende inaangazia matukio zaidi ya mauaji na kilio cha haki cha familia za wahasiriwa.
Source: Africa Uncensored 

SHARE WITH OTHERS

Share on facebook
Share on twitter
Share on whatsapp

SHARE WITH OTHERS

Share on facebook
Share on twitter
Share on whatsapp

GET INVOLVED

ONE

REPORT NOW

TWO

SIGN PETITION

THREE

FOLLOW TRIALS